-
1 Samweli 31:6, 7Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
6 Basi Sauli, wanawe watatu, mtu aliyembebea silaha, na wanaume wake wote wakafa pamoja siku hiyo.+ 7 Watu wa Israeli waliokuwa katika eneo la bondeni na katika eneo la Yordani walipoona kwamba wanaume wa Israeli wamekimbia na kwamba Sauli na wanawe wamekufa, wakaanza kuyaacha majiji na kukimbia;+ kisha Wafilisti wakaja na kukaa humo.
-