-
2 Samweli 5:1, 2Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
5 Baada ya muda makabila yote ya Israeli yakaja kwa Daudi huko Hebroni+ na kusema: “Tazama! Sisi ni mfupa wako na nyama yako.*+ 2 Zamani, Sauli alipokuwa mfalme wetu, ni wewe uliyewaongoza Waisraeli vitani.*+ Na Yehova alikuambia hivi: ‘Utawachunga watu wangu Waisraeli, nawe utakuwa kiongozi wa Israeli.’”+
-