1 Wafalme 8:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Wakati huo Sulemani aliwakusanya+ wazee wa Israeli—viongozi wote wa makabila, wakuu wa koo* za Israeli.+ Wakaja kwa Mfalme Sulemani huko Yerusalemu ili kuliondoa sanduku la agano la Yehova katika Jiji la Daudi,+ yaani, Sayuni.+ Zaburi 2:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Akisema: “Mimi mwenyewe nimemweka mfalme wangu+Juu ya Sayuni,+ mlima wangu mtakatifu.” Zaburi 48:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Urefu wake unavutia, shangwe ya dunia yote,+Ni Mlima Sayuni ulio mbali sana kaskazini,Jiji la Mfalme Mkuu.+
8 Wakati huo Sulemani aliwakusanya+ wazee wa Israeli—viongozi wote wa makabila, wakuu wa koo* za Israeli.+ Wakaja kwa Mfalme Sulemani huko Yerusalemu ili kuliondoa sanduku la agano la Yehova katika Jiji la Daudi,+ yaani, Sayuni.+
2 Urefu wake unavutia, shangwe ya dunia yote,+Ni Mlima Sayuni ulio mbali sana kaskazini,Jiji la Mfalme Mkuu.+