-
1 Mambo ya Nyakati 27:1, 2Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
27 Hii ndiyo idadi ya Waisraeli, viongozi wa koo,* wakuu wa maelfu na wa mamia,+ na maofisa wao waliomhudumia mfalme+ katika kila jambo lililohusu vikundi ambavyo viliingia ndani na kutoka nje mwezi baada ya mwezi, miezi yote ya mwaka; kila kikundi kilikuwa na watu 24,000.
2 Msimamizi wa kikundi cha kwanza kwa ajili ya mwezi wa kwanza alikuwa Yashobeamu+ mwana wa Zabdieli, na kikundi chake kilikuwa na watu 24,000.
-