Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waamuzi 3:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Ndipo Waisraeli wakamlilia Yehova awasaidie.+ Basi Yehova akawapa mwokozi,+ Ehudi+ mwana wa Gera, Mbenjamini+ aliyetumia mkono wa kushoto.+ Baada ya muda Waisraeli wakamtuma Ehudi apeleke ushuru kwa Egloni mfalme wa Moabu.

  • Waamuzi 20:15, 16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Siku hiyo Wabenjamini walikusanya wanaume 26,000 wenye mapanga kutoka katika majiji yao, na pia wanaume 700 mashujaa kutoka Gibea. 16 Jeshi hilo lilikuwa na wanaume 700 mashujaa waliotumia mkono wa kushoto. Kila mmoja wao aliweza kurusha jiwe kwa kombeo na kulenga unywele* bila kukosea.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki