Mwanzo 49:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 “Naye Gadi+ atavamiwa na kundi la wavamizi, lakini atawavamia kwenye visigino vyao.+ Kumbukumbu la Torati 33:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Alisema hivi kumhusu Gadi:+ “Amebarikiwa yule anayepanua mipaka ya Gadi.+ Analala huko kama simba,Akiwa tayari kuunyafua mkono, naam, utosi wa kichwa.
20 Alisema hivi kumhusu Gadi:+ “Amebarikiwa yule anayepanua mipaka ya Gadi.+ Analala huko kama simba,Akiwa tayari kuunyafua mkono, naam, utosi wa kichwa.