1 Samweli 24:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Yehova na ahukumu kati yangu na wewe,+ na Yehova anilipizie kisasi mambo unayonitendea,+ lakini sitainua mkono wangu dhidi yako.+ 1 Samweli 24:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Yehova na awe mwamuzi, atahukumu kati yangu na wewe, naye ataona na kunitetea na kuamua kesi yangu+ na kuniokoa kutoka mikononi mwako.” 1 Samweli 26:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Yehova ndiye atakayemlipa kila mtu kulingana na uadilifu wake mwenyewe+ na uaminifu wake mwenyewe, kwa kuwa leo Yehova alikutia mikononi mwangu, lakini sikutaka kuinua mkono wangu dhidi ya mtiwa-mafuta wa Yehova.+ Zaburi 7:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Inuka katika hasira yako, Ee Yehova;Simama ukabiliane na hasira kali ya maadui wangu;+Amka kwa ajili yangu, na uamuru kwamba haki itendeke.+
12 Yehova na ahukumu kati yangu na wewe,+ na Yehova anilipizie kisasi mambo unayonitendea,+ lakini sitainua mkono wangu dhidi yako.+
15 Yehova na awe mwamuzi, atahukumu kati yangu na wewe, naye ataona na kunitetea na kuamua kesi yangu+ na kuniokoa kutoka mikononi mwako.”
23 Yehova ndiye atakayemlipa kila mtu kulingana na uadilifu wake mwenyewe+ na uaminifu wake mwenyewe, kwa kuwa leo Yehova alikutia mikononi mwangu, lakini sikutaka kuinua mkono wangu dhidi ya mtiwa-mafuta wa Yehova.+
6 Inuka katika hasira yako, Ee Yehova;Simama ukabiliane na hasira kali ya maadui wangu;+Amka kwa ajili yangu, na uamuru kwamba haki itendeke.+