Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 25:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Nitakutokea hapo na kuzungumza nawe kutoka juu ya kifuniko hicho.+ Kutoka katikati ya hao makerubi wawili walio juu ya sanduku la Ushahidi, nitakujulisha amri zote utakazowapa Waisraeli.

  • Hesabu 7:89
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 89 Kila mara Musa alipoingia katika hema la mkutano kuongea na Mungu,+ alisikia sauti ikizungumza naye kutoka juu ya kifuniko+ cha sanduku la Ushahidi, kutoka katikati ya wale makerubi wawili;+ Mungu aliongea naye.

  • 1 Samweli 4:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Basi watu wakawatuma wanaume kwenda Shilo, nao wakachukua kutoka huko sanduku la agano la Yehova wa majeshi, anayeketi akiwa mfalme juu ya* makerubi.+ Na wana wawili wa Eli, yaani, Hofni na Finehasi,+ walikuwa huko pia pamoja na sanduku la agano la Mungu wa kweli.

  • 2 Samweli 6:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Kisha Daudi na wanaume wote waliokuwa pamoja naye wakaondoka kwenda Baale-yuda ili kuleta Sanduku la Mungu wa kweli+ kutoka huko, ambalo mbele yake watu hulisifu jina la Yehova wa majeshi,+ anayeketi kwenye kiti cha ufalme juu ya* makerubi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki