13 Baada ya kutoka Hebroni, Daudi alichukua masuria+ na wake zaidi huko Yerusalemu, nao wakamzalia Daudi wana na mabinti zaidi.+ 14 Haya ndiyo majina ya watoto wake waliozaliwa Yerusalemu: Shamua, Shobabu, Nathani,+ Sulemani,+ 15 Ibhari, Elishua, Nefegi, Yafia, 16 Elishama, Eliada, na Elifeleti.