2 Samweli 5:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kisha Wafilisti wakaja na kuenea katika Bonde la* Refaimu.+ 2 Samweli 5:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Baadaye Wafilisti wakaja tena na kuenea katika Bonde la* Refaimu.+ 2 Samweli 23:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Viongozi watatu kati ya wale viongozi 30 walishuka wakati wa mavuno kwenda kwa Daudi katika pango la Adulamu,+ na kikosi* cha Wafilisti kilikuwa kimepiga kambi katika Bonde la* Refaimu.+
13 Viongozi watatu kati ya wale viongozi 30 walishuka wakati wa mavuno kwenda kwa Daudi katika pango la Adulamu,+ na kikosi* cha Wafilisti kilikuwa kimepiga kambi katika Bonde la* Refaimu.+