Matendo 7:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 “Pia, alimpa agano la tohara,+ naye Abrahamu akawa baba ya Isaka+ na kumtahiri siku ya nane,+ na Isaka akawa baba ya* Yakobo, naye Yakobo akawa baba ya wale vichwa 12 vya familia.*
8 “Pia, alimpa agano la tohara,+ naye Abrahamu akawa baba ya Isaka+ na kumtahiri siku ya nane,+ na Isaka akawa baba ya* Yakobo, naye Yakobo akawa baba ya wale vichwa 12 vya familia.*