Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 6:4, 5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Basi wakalisafirisha Sanduku la Mungu wa kweli kutoka katika nyumba ya Abinadabu iliyokuwa kwenye kilima, na Ahio alikuwa akitembea mbele ya Sanduku hilo. 5 Daudi na nyumba yote ya Israeli walikuwa wakisherehekea mbele za Yehova kwa ala za kila aina zilizotengenezwa kwa mbao za mberoshi, vinubi, vinanda vinginevyo,+ matari,+ matasa, na matoazi.+

  • 2 Samweli 6:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Mfalme Daudi akaambiwa hivi: “Yehova ameibariki nyumba ya Obed-edomu na vitu vyake vyote kwa sababu ya Sanduku la Mungu wa kweli.” Basi Daudi akaenda kulichukua Sanduku la Mungu wa kweli kutoka katika nyumba ya Obed-edomu na kulipandisha kwa shangwe katika Jiji la Daudi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki