Mwanzo 36:11, 12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Wana wa Elifazi walikuwa Temani,+ Omari, Sefo, Gatamu, na Kenasi.+ 12 Timna akawa suria wa Elifazi, mwana wa Esau. Baada ya muda akamzalia Elifazi mtoto aliyeitwa Amaleki.+ Hao ndio wana wa Ada, mke wa Esau.
11 Wana wa Elifazi walikuwa Temani,+ Omari, Sefo, Gatamu, na Kenasi.+ 12 Timna akawa suria wa Elifazi, mwana wa Esau. Baada ya muda akamzalia Elifazi mtoto aliyeitwa Amaleki.+ Hao ndio wana wa Ada, mke wa Esau.