Mwanzo 36:20, 21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Hawa ndio wana wa Seiri, Mhori, wakaaji wa nchi:+ Lotani, Shobali, Sibeoni, Ana,+ 21 Dishoni, Ezeri, na Dishani.+ Hao ndio mashehe wa Wahori, wana wa Seiri, katika nchi ya Edomu.
20 Hawa ndio wana wa Seiri, Mhori, wakaaji wa nchi:+ Lotani, Shobali, Sibeoni, Ana,+ 21 Dishoni, Ezeri, na Dishani.+ Hao ndio mashehe wa Wahori, wana wa Seiri, katika nchi ya Edomu.