2 Samweli 10:15, 16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Wasiria walipoona kwamba wameshindwa na Waisraeli, wakajikusanya tena.+ 16 Basi Hadadezeri+ akaagiza Wasiria kutoka katika eneo la Mto Efrati+ waletwe, nao wakaja Helamu, wakiongozwa na Shobaki mkuu wa jeshi la Hadadezeri.
15 Wasiria walipoona kwamba wameshindwa na Waisraeli, wakajikusanya tena.+ 16 Basi Hadadezeri+ akaagiza Wasiria kutoka katika eneo la Mto Efrati+ waletwe, nao wakaja Helamu, wakiongozwa na Shobaki mkuu wa jeshi la Hadadezeri.