2 Samweli 21:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Baada ya hayo, wakapigana tena na Wafilisti+ kule Gobu. Wakati huo Sibekai+ Mhusha alimuua Safu, aliyekuwa mzao wa Warefaimu.+ 1 Mambo ya Nyakati 11:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Mashujaa hodari jeshini walikuwa Asaheli+ ndugu ya Yoabu, Elhanani mwana wa Dodo wa Bethlehemu,+ 1 Mambo ya Nyakati 11:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Sibekai+ Mhusha, Ilai Mwahohi,
18 Baada ya hayo, wakapigana tena na Wafilisti+ kule Gobu. Wakati huo Sibekai+ Mhusha alimuua Safu, aliyekuwa mzao wa Warefaimu.+