31 Ndipo Yehova akayafungua macho ya Balaamu,+ naye akamwona malaika wa Yehova amesimama njiani akiwa ameshika upanga uliochomolewa. Papo hapo Balaamu akainama chini na kusujudu.
13 Yoshua alipokuwa karibu na Yeriko, aliinua macho na kumwona mwanamume+ fulani amesimama mbele yake akiwa ameshika upanga uliochomolewa.+ Yoshua akamkaribia na kumuuliza: “Uko upande wetu au wa maadui wetu?”