2 Samweli 24:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Daudi alipomwona malaika aliyekuwa akiwaangamiza watu, akamwambia Yehova: “Mimi ndiye niliyetenda dhambi, na mimi ndiye niliyekosea; lakini kondoo hawa+—wamefanya nini? Tafadhali, acha mkono wako uniadhibu mimi na nyumba ya baba yangu.”+
17 Daudi alipomwona malaika aliyekuwa akiwaangamiza watu, akamwambia Yehova: “Mimi ndiye niliyetenda dhambi, na mimi ndiye niliyekosea; lakini kondoo hawa+—wamefanya nini? Tafadhali, acha mkono wako uniadhibu mimi na nyumba ya baba yangu.”+