Mwanzo 30:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Lea akasema: “Mungu amenipa mimi zawadi, naam, amenipa mimi zawadi nzuri. Hatimaye, mume wangu atanivumilia,+ kwa maana nimemzalia wana sita.”+ Basi akampa jina Zabuloni.*+ Mwanzo 49:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 “Zabuloni+ atakaa kwenye ufuo wa bahari, kwenye ufuo ambapo meli hutia nanga,+ na mpaka wake wa mbali utaelekea Sidoni.+
20 Lea akasema: “Mungu amenipa mimi zawadi, naam, amenipa mimi zawadi nzuri. Hatimaye, mume wangu atanivumilia,+ kwa maana nimemzalia wana sita.”+ Basi akampa jina Zabuloni.*+
13 “Zabuloni+ atakaa kwenye ufuo wa bahari, kwenye ufuo ambapo meli hutia nanga,+ na mpaka wake wa mbali utaelekea Sidoni.+