1 Mambo ya Nyakati 26:21, 22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Wana wa Ladani: wana wa Mgershoni mwana wa Ladani, viongozi wa koo* za Ladani Mgershoni, kulikuwa na Yehieli+ 22 na wana wa Yehieli, Zethamu na Yoeli ndugu yake. Walisimamia hazina za nyumba ya Yehova.+
21 Wana wa Ladani: wana wa Mgershoni mwana wa Ladani, viongozi wa koo* za Ladani Mgershoni, kulikuwa na Yehieli+ 22 na wana wa Yehieli, Zethamu na Yoeli ndugu yake. Walisimamia hazina za nyumba ya Yehova.+