Mwanzo 30:9-11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Lea alipoona kwamba ameacha kuzaa, alimchukua Zilpa kijakazi wake na kumpa Yakobo awe mke wake.+ 10 Na Zilpa kijakazi wa Lea akamzalia Yakobo mwana. 11 Kisha Lea akasema: “Kwa neema!” Basi akampa jina Gadi.*+ Mwanzo 49:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 “Naye Gadi+ atavamiwa na kundi la wavamizi, lakini atawavamia kwenye visigino vyao.+
9 Lea alipoona kwamba ameacha kuzaa, alimchukua Zilpa kijakazi wake na kumpa Yakobo awe mke wake.+ 10 Na Zilpa kijakazi wa Lea akamzalia Yakobo mwana. 11 Kisha Lea akasema: “Kwa neema!” Basi akampa jina Gadi.*+