Mwanzo 30:12, 13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kisha Zilpa kijakazi wa Lea, akamzalia Yakobo mwana wa pili. 13 Lea akasema: “Kwa furaha yangu! Kwa maana hakika mabinti watanitangaza kuwa mwenye furaha.”+ Basi akampa jina Asheri.*+ Mwanzo 49:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 “Mkate wa Asheri+ utakuwa mwingi sana,* naye ataandaa chakula kinachomfaa mfalme.+
12 Kisha Zilpa kijakazi wa Lea, akamzalia Yakobo mwana wa pili. 13 Lea akasema: “Kwa furaha yangu! Kwa maana hakika mabinti watanitangaza kuwa mwenye furaha.”+ Basi akampa jina Asheri.*+