16 Ndipo Daudi akawaambia wakuu wa Walawi wawaweke ndugu zao waimbaji ili waimbe kwa shangwe na sauti kubwa, kwa ala za muziki: vinanda, vinubi,+ na matoazi.+
18 Walikuwa pamoja na ndugu zao wa kikundi cha pili,+ Zekaria, Beni, Yaazieli, Shemiramothi, Yehieli, Uni, Eliabu, Benaya, Maaseya, Matithia, Elifelehu, na Mikneya na Obed-edomu na Yeieli walinzi wa malango.