1 Mambo ya Nyakati 15:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Ndipo Daudi akawaambia wakuu wa Walawi wawaweke ndugu zao waimbaji ili waimbe kwa shangwe na sauti kubwa, kwa ala za muziki: vinanda, vinubi,+ na matoazi.+ 1 Mambo ya Nyakati 15:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Waimbaji Hemani,+ Asafu,+ na Ethani waliwekwa kupiga matoazi ya shaba;+
16 Ndipo Daudi akawaambia wakuu wa Walawi wawaweke ndugu zao waimbaji ili waimbe kwa shangwe na sauti kubwa, kwa ala za muziki: vinanda, vinubi,+ na matoazi.+