Yoshua 13:24, 25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Pia, Musa akawapa urithi watu wa kabila la Gadi, kulingana na koo zao, 25 na eneo lao lilitia ndani Yazeri+ na majiji yote ya Gileadi na nusu ya nchi ya Waamoni+ hadi Aroeri, mbele ya Raba;+ Yoshua 21:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Hivyo Waisraeli wakawapa Walawi majiji hayo na malisho yake kwa kura kama Yehova alivyokuwa ameamuru kupitia Musa.+ Yoshua 21:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 Heshboni+ na malisho yake, Yazeri+ na malisho yake—jumla ya majiji manne.
24 Pia, Musa akawapa urithi watu wa kabila la Gadi, kulingana na koo zao, 25 na eneo lao lilitia ndani Yazeri+ na majiji yote ya Gileadi na nusu ya nchi ya Waamoni+ hadi Aroeri, mbele ya Raba;+
8 Hivyo Waisraeli wakawapa Walawi majiji hayo na malisho yake kwa kura kama Yehova alivyokuwa ameamuru kupitia Musa.+