2 Samweli 23:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Haya ndiyo majina ya mashujaa hodari wa Daudi:+ Yosheb-bashebethi Mtakemoni, kiongozi wa wale watatu.+ Wakati mmoja, alitumia mkuki wake kuwaua watu 800. 2 Samweli 23:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Benaya+ Mpirathoni, Hidai kutoka katika makorongo* ya Gaashi,+
8 Haya ndiyo majina ya mashujaa hodari wa Daudi:+ Yosheb-bashebethi Mtakemoni, kiongozi wa wale watatu.+ Wakati mmoja, alitumia mkuki wake kuwaua watu 800.