1 Samweli 14:50 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 50 Mke wa Sauli aliitwa Ahinoamu binti ya Ahimaazi. Mkuu wa jeshi lake aliitwa Abneri+ mwana wa Neri, ndugu ya baba ya Sauli. 2 Samweli 3:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Abneri aliporudi Hebroni,+ Yoabu akampeleka pembeni ndani ya lango ili azungumze naye faraghani. Hata hivyo, Yoabu akamchoma kwa upanga tumboni, naye akafa;+ kwa sababu alimuua* Asaheli ndugu yake.+
50 Mke wa Sauli aliitwa Ahinoamu binti ya Ahimaazi. Mkuu wa jeshi lake aliitwa Abneri+ mwana wa Neri, ndugu ya baba ya Sauli.
27 Abneri aliporudi Hebroni,+ Yoabu akampeleka pembeni ndani ya lango ili azungumze naye faraghani. Hata hivyo, Yoabu akamchoma kwa upanga tumboni, naye akafa;+ kwa sababu alimuua* Asaheli ndugu yake.+