Mwanzo 49:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Fimbo ya ufalme haitaondoka Yuda,+ wala fimbo ya kiongozi kutoka katikati ya miguu yake, mpaka Shilo* atakapokuja,+ na mataifa yatamtii.+ 1 Mambo ya Nyakati 5:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Ingawa Yuda+ alikuwa mkuu kuliko ndugu zake na kiongozi alitoka kwake,+ haki ya mzaliwa wa kwanza ilikuwa ya Yosefu. Zaburi 60:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Gileadi ni yangu, na Manase ni yangu,+Na Efraimu ni kofia ya kukinga* kichwa changu;Yuda ni fimbo yangu ya kiongozi.+
10 Fimbo ya ufalme haitaondoka Yuda,+ wala fimbo ya kiongozi kutoka katikati ya miguu yake, mpaka Shilo* atakapokuja,+ na mataifa yatamtii.+
2 Ingawa Yuda+ alikuwa mkuu kuliko ndugu zake na kiongozi alitoka kwake,+ haki ya mzaliwa wa kwanza ilikuwa ya Yosefu.
7 Gileadi ni yangu, na Manase ni yangu,+Na Efraimu ni kofia ya kukinga* kichwa changu;Yuda ni fimbo yangu ya kiongozi.+