-
2 Mambo ya Nyakati 33:21, 22Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
21 Amoni+ alikuwa na umri wa miaka 22 alipoanza kutawala, naye alitawala kwa miaka miwili huko Yerusalemu.+ 22 Naye aliendelea kutenda maovu machoni pa Yehova, kama alivyofanya Manase baba yake;+ na Amoni akatoa dhabihu kwa sanamu zote za kuchongwa ambazo Manase baba yake alikuwa ametengeneza,+ naye akaendelea kuziabudu.
-