Yoshua 7:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Wakanaani na wakaaji wote wa nchi hii watakaposikia habari hii, watatuzingira na kufutilia mbali jina letu kutoka duniani, nawe utafanya nini kwa ajili ya jina lako kuu?”+ Zaburi 9:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Inuka, Ee Yehova! Usiache mwanadamu anayeweza kufa ashinde. Mataifa na yahukumiwe mbele zako.*+
9 Wakanaani na wakaaji wote wa nchi hii watakaposikia habari hii, watatuzingira na kufutilia mbali jina letu kutoka duniani, nawe utafanya nini kwa ajili ya jina lako kuu?”+