-
2 Mambo ya Nyakati 18:31, 32Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
31 Na mara tu makamanda hao wa magari ya vita walipomwona Yehoshafati, wakaambiana: “Ni mfalme wa Israeli.” Basi wakamgeukia ili kupigana naye; na Yehoshafati akaanza kulilia msaada,+ na Yehova akamsaidia, na mara moja Mungu akawaelekeza upande mwingine ili wamwache. 32 Makamanda hao wa magari ya vita walipoona kwamba hakuwa mfalme wa Israeli, mara moja wakaacha kumfuatia.
-