Yoshua 21:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Nao wakawapa wana wa kuhani Haruni jiji la makimbilio kwa ajili ya muuaji,+ yaani, jiji la Hebroni,+ na malisho yake, pia Libna+ na malisho yake, 2 Wafalme 19:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Baada ya Rabshake kusikia kwamba mfalme wa Ashuru ameondoka Lakishi,+ alirudi na kumkuta akipigana vita na Libna.+
13 Nao wakawapa wana wa kuhani Haruni jiji la makimbilio kwa ajili ya muuaji,+ yaani, jiji la Hebroni,+ na malisho yake, pia Libna+ na malisho yake,
8 Baada ya Rabshake kusikia kwamba mfalme wa Ashuru ameondoka Lakishi,+ alirudi na kumkuta akipigana vita na Libna.+