-
2 Wafalme 15:5-7Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
5 Yehova alimletea mfalme pigo, naye aliendelea kuwa na ukoma+ mpaka siku aliyokufa; alikaa katika nyumba iliyotengwa,+ huku Yothamu mwana wa mfalme+ akiisimamia nyumba ya mfalme,* akiwahukumu watu nchini.+ 6 Na mambo mengine katika historia ya Azaria,+ mambo yote aliyofanya, je, hayajaandikwa katika kitabu cha historia ya nyakati za wafalme wa Yuda? 7 Kisha Azaria akafa na kuzikwa pamoja na mababu zake+ katika Jiji la Daudi; na Yothamu mwanawe akawa mfalme baada yake.
-