-
Yoshua 14:12, 13Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
12 Kwa hiyo, nipe eneo hili lenye milima ambalo Yehova aliahidi siku hiyo. Ingawa ulisikia siku hiyo kwamba kuna Waanaki+ wanaoishi huko katika majiji makubwa yenye ngome,+ bila shaka* Yehova atakuwa pamoja nami,+ nami nitawafukuza,* kama Yehova alivyoahidi.”+
13 Ndipo Yoshua akambariki Kalebu mwana wa Yefune na kumpa Hebroni kuwa urithi wake.+
-