14 Ndipo hasira ya Yehova ikawaka dhidi ya Waisraeli, akawatia mikononi mwa waporaji, nao wakapora mali zao.+ Akawatia* mikononi mwa maadui waliowazunguka+ wala hawakuweza tena kuwashinda maadui wao.+
8 Ndipo hasira ya Yehova ikawaka dhidi ya Waisraeli, naye akawatia* mikononi mwa Kushan-rishathaimu mfalme wa Mesopotamia.* Na Waisraeli wakamtumikia Kushan-rishathaimu kwa miaka minane.