Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 23:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Halafu mfalme akamwagiza kuhani mkuu Hilkia,+ makuhani wa daraja la pili, na walinzi wa milango waondoe kutoka katika hekalu la Yehova vyombo vyote vilivyotengenezwa kwa ajili ya Baali, kwa ajili ya mti mtakatifu,*+ na kwa ajili ya jeshi lote la mbinguni. Kisha akaviteketeza nje ya Yerusalemu kwenye matuta ya Kidroni, akapeleka majivu yake Betheli.+

  • 2 Wafalme 23:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Akauondoa mti mtakatifu*+ katika nyumba ya Yehova na kuupeleka nje ya Yerusalemu, katika Bonde la Kidroni, akauteketeza+ katika Bonde la Kidroni, akausaga mpaka ukawa mavumbi na kuyatawanya mavumbi hayo juu ya makaburi ya watu wa kawaida.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 15:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Mfalme Asa alimwondoa hata Maaka+ nyanya yake kutoka katika cheo chake cha mama malkia, kwa sababu alikuwa ametengeneza sanamu chafu sana* kwa ajili ya ibada ya mti mtakatifu.*+ Asa akaikatakata sanamu hiyo chafu sana, akaipondaponda na kuiteketeza katika Bonde la Kidroni.+

  • Yohana 18:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Baada ya kusema mambo hayo, Yesu akaenda pamoja na wanafunzi wake, wakavuka Bonde la Kidroni*+ na kufika kwenye bustani, naye akaingia humo pamoja nao.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki