Ezra 2:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Hawa ndio watu wa mkoa,* baadhi ya mateka waliopanda kutoka uhamishoni,+ ambao Mfalme Nebukadneza wa Babiloni alikuwa amewapeleka uhamishoni Babiloni+ na ambao baadaye walirudi Yerusalemu na Yuda, kila mmoja kwenye jiji lake,+ Ezra 2:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 wana wa Bebai, 623; Ezra 10:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 na kutoka kwa wana wa Bebai,+ Yehohanani, Hanania, Zabai, na Athlai; Ezra 10:44 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 44 Wote hao walikuwa wameoa wanawake wa kigeni,+ basi wakawafukuza wake zao pamoja na wana wao.+
2 Hawa ndio watu wa mkoa,* baadhi ya mateka waliopanda kutoka uhamishoni,+ ambao Mfalme Nebukadneza wa Babiloni alikuwa amewapeleka uhamishoni Babiloni+ na ambao baadaye walirudi Yerusalemu na Yuda, kila mmoja kwenye jiji lake,+