24 Kisha nikachagua wakuu 12 wa makuhani, yaani, Sherebia na Hashabia,+ pamoja na kumi kati ya ndugu zao. 25 Nikawapimia fedha na dhahabu na vyombo, mchango ambao mfalme na washauri wake na wakuu wake na Waisraeli wote waliokuwa hapo walitoa kwa ajili ya nyumba ya Mungu wetu.+