Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 7:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 na watu wangu ambao wameitwa kwa jina langu+ wakijinyenyekeza+ na kusali na kuutafuta uso wangu na kuacha njia zao ovu,+ ndipo nitakaposikia kutoka mbinguni na kuwasamehe dhambi yao na kuiponya nchi yao.+

  • Yeremia 29:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 “Kwa maana Yehova anasema hivi: ‘Miaka 70 itakapotimia huko Babiloni nitawakazia ninyi fikira,+ nami nitatimiza ahadi yangu kwa kuwarudisha mahali hapa.’+

  • Yeremia 29:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Nanyi mtaniita na kuja na kusali kwangu, nami nitawasikiliza.’+

  • Yeremia 50:4, 5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 “Siku hizo na wakati huo,” asema Yehova, “watu wa Israeli na watu wa Yuda watakuja pamoja.+ Watatembea wakilia,+ na pamoja watamtafuta Yehova Mungu wao.+ 5 Watauliza njia ya kwenda Sayuni, nyuso zao zikiwa zimeelekezwa upande huo,+ wakisema, ‘Njooni, tujiunge na Yehova katika agano la milele ambalo halitasahauliwa.’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki