Nehemia 1:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 1 Maneno ya Nehemia*+ mwana wa Hakalia: Sasa katika mwezi wa Kislevu,* mwaka wa 20, mimi nilikuwa katika ngome ya* Shushani.*+ Esta 1:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 siku hizo Mfalme Ahasuero alipokuwa akiketi kwenye kiti chake cha ufalme katika ngome ya* Shushani,*+ Danieli 8:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Niliona maono hayo, na nilipokuwa nikiyaona nilikuwa katika ngome ya* Shushani,*+ iliyo katika mkoa wa* Elamu;+ niliona maono hayo, nami nilikuwa kando ya mfereji wa maji wa Ulai.
1 Maneno ya Nehemia*+ mwana wa Hakalia: Sasa katika mwezi wa Kislevu,* mwaka wa 20, mimi nilikuwa katika ngome ya* Shushani.*+
2 siku hizo Mfalme Ahasuero alipokuwa akiketi kwenye kiti chake cha ufalme katika ngome ya* Shushani,*+
2 Niliona maono hayo, na nilipokuwa nikiyaona nilikuwa katika ngome ya* Shushani,*+ iliyo katika mkoa wa* Elamu;+ niliona maono hayo, nami nilikuwa kando ya mfereji wa maji wa Ulai.