Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 8:49, 50
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 49 basi usikie kutoka mbinguni, makao yako,+ sala yao na ombi lao la kutaka kibali, nawe utekeleze hukumu kwa ajili yao 50 na uwasamehe watu wako ambao wamekutendea dhambi, na kusamehe makosa yote waliyokukosea. Utafanya waliowateka wawahurumie,* nao watawahurumia+

  • Ezra 7:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Huyo Ezra alitoka Babiloni. Alikuwa mwandishi* na aliijua vizuri* Sheria ya Musa,+ iliyotolewa na Yehova Mungu wa Israeli. Mfalme alimpa kila kitu alichoomba, kwa maana mkono wa Yehova Mungu wake ulikuwa juu yake.

  • Zaburi 106:46
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 46 Alikuwa akisababisha wahurumiwe

      Na wote waliowachukua mateka.+

  • Methali 21:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Moyo wa mfalme ni kama vijito vya maji mkononi mwa Yehova.+

      Yeye huuelekeza mahali popote anapopenda.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki