15 Naye Mordekai akatoka mbele ya mfalme akiwa amevaa mavazi ya kifalme ya rangi ya bluu na nyeupe, taji kubwa la dhahabu, na joho la kitambaa bora cha sufu ya zambarau.+ Na jiji la Shushani* likapiga kelele kwa shangwe.
48 Kisha mfalme akampandisha cheo Danieli na kumpa zawadi nyingi bora, naye akamfanya kuwa mtawala wa mkoa wote wa* Babiloni+ na msimamizi mkuu wa wanaume wote wenye hekima wa Babiloni.