Luka 14:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Lakini unapoandaa karamu, waalike maskini, viwete, vilema, na vipofu;+ Yakobo 1:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Namna ya ibada* iliyo safi na isiyo na unajisi kwa maoni ya Mungu wetu na Baba ni hii: kuwatunza mayatima+ na wajane+ katika dhiki yao,+ na kuendelea kujitunza bila doa kutokana na ulimwengu.+
27 Namna ya ibada* iliyo safi na isiyo na unajisi kwa maoni ya Mungu wetu na Baba ni hii: kuwatunza mayatima+ na wajane+ katika dhiki yao,+ na kuendelea kujitunza bila doa kutokana na ulimwengu.+