Zaburi 72:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Atakuwa kama mvua inayonyeshea majani yaliyofyekwa,Kama manyunyu ya mvua yanayoinywesha dunia.+ Methali 16:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Katika nuru ya uso wa mfalme kuna uzima;Kibali chake ni kama wingu la mvua wakati wa masika.+