26 Na wana wenu watakapowauliza, ‘Mwadhimisho huu una maana gani kwenu?’+ 27 mnapaswa kuwaambia, ‘Tunamtolea Yehova dhabihu ya Pasaka, ambaye alipita juu ya nyumba za Waisraeli nchini Misri alipowapiga Wamisri, lakini akaacha nyumba zetu.’”
Kisha watu wakainama chini na kusujudu.