Mwanzo 1:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Na kila mnyama wa mwituni na kila kiumbe anayeruka angani na kila kiumbe mwenye uhai* anayetembea duniani, nimempa mimea yote ya kijani iwe chakula+ chake.” Ikawa hivyo. Zaburi 136:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Huwapa chakula viumbe wote walio hai,*+Kwa maana upendo wake mshikamanifu unadumu milele.
30 Na kila mnyama wa mwituni na kila kiumbe anayeruka angani na kila kiumbe mwenye uhai* anayetembea duniani, nimempa mimea yote ya kijani iwe chakula+ chake.” Ikawa hivyo.