-
Zaburi 18:25Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
25 Kwa mtu mshikamanifu unatenda kwa ushikamanifu;+
Kwa mtu asiye na lawama unatenda bila lawama;+
-
Ufunuo 15:3, 4Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
3 Walikuwa wanaimba wimbo wa Musa+ mtumwa wa Mungu na wimbo wa Mwanakondoo,+ wakisema:
“Matendo yako ni makuu na ya ajabu,+ Yehova* Mungu, Mweza-Yote.+ Njia zako ni za uadilifu na za kweli,+ Mfalme wa umilele.+ 4 Ni nani ambaye kwa kweli hatakuogopa wewe, Yehova,* na kulitukuza jina lako, kwa kuwa wewe peke yako ni mshikamanifu?+ Kwa maana mataifa yote yatakuja na kuabudu mbele zako,+ kwa sababu amri zako za uadilifu zimefunuliwa.”
-
-
-