Kutoka 34:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Yehova alipita mbele yake akitangaza: “Mimi Yehova, Yehova, ni Mungu mwenye rehema+ na huruma,*+ si mwepesi wa hasira,+ nina upendo mwingi mshikamanifu*+ na kweli,*+ Isaya 55:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Tegeni sikio na mje kwangu.+ Sikilizeni, nanyi mtaendelea* kuwa hai,Nami nitafanya agano la milele pamoja nanyi bila kusita+Kulingana na matendo ya upendo mshikamanifu kwa Daudi, ambayo ni ya uaminifu.*+
6 Yehova alipita mbele yake akitangaza: “Mimi Yehova, Yehova, ni Mungu mwenye rehema+ na huruma,*+ si mwepesi wa hasira,+ nina upendo mwingi mshikamanifu*+ na kweli,*+
3 Tegeni sikio na mje kwangu.+ Sikilizeni, nanyi mtaendelea* kuwa hai,Nami nitafanya agano la milele pamoja nanyi bila kusita+Kulingana na matendo ya upendo mshikamanifu kwa Daudi, ambayo ni ya uaminifu.*+