Zaburi 103:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Lakini upendo mshikamanifu wa Yehova ni wa milele na milele*Kuelekea wale wanaomwogopa,+Na uadilifu wake kuelekea watoto wa watoto wao,+ Zaburi 136:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 136 Mshukuruni Yehova, kwa maana ni mwema;+Upendo wake mshikamanifu unadumu milele.+
17 Lakini upendo mshikamanifu wa Yehova ni wa milele na milele*Kuelekea wale wanaomwogopa,+Na uadilifu wake kuelekea watoto wa watoto wao,+ Zaburi 136:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 136 Mshukuruni Yehova, kwa maana ni mwema;+Upendo wake mshikamanifu unadumu milele.+