Isaya 45:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kwa maana Yehova,Muumba wa mbingu,+ Mungu wa kweli,Yule aliyeiumba dunia, Yule aliyeitengeneza na kuifanya imara kabisa,+Ambaye hakuiumba tu bila sababu,* lakini aliiumba ili ikaliwe, anasema hivi:+ “Mimi ni Yehova, wala hakuna mwingine. Mathayo 5:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 “Wenye furaha ni wale walio wapole,+ kwa kuwa watairithi dunia.+ Ufunuo 21:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Ndipo nikasikia sauti kubwa kutoka katika kile kiti cha ufalme ikisema: “Tazama! Hema la Mungu liko pamoja na wanadamu, naye atakaa pamoja nao, nao watakuwa watu wake. Na Mungu mwenyewe atakuwa pamoja nao.+
18 Kwa maana Yehova,Muumba wa mbingu,+ Mungu wa kweli,Yule aliyeiumba dunia, Yule aliyeitengeneza na kuifanya imara kabisa,+Ambaye hakuiumba tu bila sababu,* lakini aliiumba ili ikaliwe, anasema hivi:+ “Mimi ni Yehova, wala hakuna mwingine.
3 Ndipo nikasikia sauti kubwa kutoka katika kile kiti cha ufalme ikisema: “Tazama! Hema la Mungu liko pamoja na wanadamu, naye atakaa pamoja nao, nao watakuwa watu wake. Na Mungu mwenyewe atakuwa pamoja nao.+