Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 45:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Kwa maana Yehova,

      Muumba wa mbingu,+ Mungu wa kweli,

      Yule aliyeiumba dunia, Yule aliyeitengeneza na kuifanya imara kabisa,+

      Ambaye hakuiumba tu bila sababu,* lakini aliiumba ili ikaliwe, anasema hivi:+

      “Mimi ni Yehova, wala hakuna mwingine.

  • Mathayo 5:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 “Wenye furaha ni wale walio wapole,+ kwa kuwa watairithi dunia.+

  • Ufunuo 21:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Ndipo nikasikia sauti kubwa kutoka katika kile kiti cha ufalme ikisema: “Tazama! Hema la Mungu liko pamoja na wanadamu, naye atakaa pamoja nao, nao watakuwa watu wake. Na Mungu mwenyewe atakuwa pamoja nao.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki